Monday 22 June 2015

Dola Milioni 16.5 kutumika kulinda Mazingira, kukuza na kuhifadhi Utalii Nchini

Waziri wa Utalii Lazaro Nyalandu akiwa na Balozi wa Marekani Tanzania Mark Childress wakisaini Mkataba wa Kulinda Mazingira  na kukuza Uhifadhi wa Utalii nchini. kazi hiyo itagharimu Dola Milioni 16.5 zitakazotolewa na Marekani

No comments:

Post a Comment