Monday 22 June 2015

Dola Milioni 16.5 kutumika kulinda Mazingira, kukuza na kuhifadhi Utalii Nchini

Waziri wa Utalii Lazaro Nyalandu akiwa na Balozi wa Marekani Tanzania Mark Childress wakisaini Mkataba wa Kulinda Mazingira  na kukuza Uhifadhi wa Utalii nchini. kazi hiyo itagharimu Dola Milioni 16.5 zitakazotolewa na Marekani

Lunch na Chef Issa - Sweden

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Mtanzania Mtaalam wa Mapishi anayeishi Nchini Sweden maarufu kwa jina la Chef Issa. Issa anaemiliki Mgahawa Nchini Sweden alishinda Medali ya Dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Mapishi akiwa na Timu ya Sweden.

Siku ya Familia na Tanzania Breweries Limited

Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiandika majina ya watoto waliofika pamoja na wazazi wao kwa ajili ya kuwapatia zawadi wakati ya sherehe ya siku ya familia ya TBL iliyofanyika kwenye ufukwe wa bahari beach, dar es salaam juzi.

Thursday 27 February 2014

WATANO WAFARIKI KATIKA AJALI WILAYA YA HAI

Watu watano wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na gari lingine katika Barabara Kuu ya Arusha- Moshi eneo la Kia Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo juzi saa 2:00 usiku katika eneo hilo.
Aliwataja waliofariki kuwa ni Sophia Christopher (18), Ashasen Emanuel (30), Amedeus Kweka (28) wakazi wa Mererani, wengine ni Adam Thegi mkazi wa Musoma na Hatib Athuman (40) mkazi wa Majengo Arusha.
Kwa mujibu wa mkuu huyo wa wilaya, waliojeruhiwa ni Teresia John (35) Wahida Idd (28), Jerad Mtimeili (31) na Linda Mlay (22) wakazi wa Mererani Manyara.
Makunga ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya hiyo, alisema gari aina ya Landrover Volkswagen lililokuwa likiendeshwa na dereva Amedeus Kweka (28) likitokea kituo cha mafuta cha Kodil liliingia barabarani huku gari ikiwaka taa moja.
Alisema dereva huyo aliingia barabarani akiwa kwenye mwendo kasi na kugongana na gari aina ya Mistubish Canter likiendeshwa na Francicy Mkongo (37) mkazi wa USA jijini Arusha na kusababisha ajali hiyo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robart Boaz amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasipamoja na dereva kuendesha gari likiwa halina taa wakati wa usiku.
www.mwananchi.co.tz

Tuesday 16 July 2013

Mengi: Waliokamatwa na unga ni chambo

MWENYEKITI Mtendaji wa Kampeni za IPP Media, Regnald Mengi amejitosa katika sakata la wasichana waliokutwa na dawa za kulevya nchini Afrika Kusini.
Akizungumza na wanahabari Dar es Salaam jana, Mengi alidai kuwa wasichana waliokamatwa na dawa hizo wanatumika kama chambo kwani wapo vigogo waliowatuma kufanya shughuli hiyo.
Hivi karibuni wasichana wawili raia wa Tanzania walikamatwa Afrika Kusini wakiwa na dawa za kulevya zenye thamani ya sh. bilioni 6.8 na kwamba walipitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
Mengi alibainisha kuwa vita dhidi ya dawa za kulevya inakwama kutokana na vitendo vya rushwa. Alisema rushwa imekuwa chanzo kikubwa cha watu kujihusisha na biashara ya dawa hizo na hivyo kuleta matatizo kwa vijana.   Alisema watu wengi ambao wanajikita katika rushwa ndiyo wanaojiingiza katika biashara hiyo kutokana na kuwa na fedha nyingi. Kutokana na hali hiyo, alisema wananchi wasipokuwa makini wapokea rushwa ndiyo watakuwa watawala wa nchi.
 (Nyendo Mohamed wa JAMBO LEO - www.jamboconcepts.com)

Wednesday 5 June 2013

MANCHESTER UNITED have stepped up their efforts to make Cristiano Ronaldo the signing of the summer.

The Red Devils are convinced they can take advantage of uncertainty at Real Madrid to bring him back home to Old Trafford.
And they are prepared to offer £65million plus a player to land the superstar, 28, who is still a hero with the United faithful.
Ronaldo is also understood to be keen on the move.
He has turned down offers from Real Madrid to sign a new deal with only two years left on his current contract.
Real will not give up trying to keep him.
But they have already made contingency plans to bring in Gareth Bale from Tottenham in a switch worth £80m.
They also know that they cannot afford to let Ronaldo’s contract run down and now would be the last chance to get big money back on him.
Ronaldo has put his house up for sale in Madrid and did not play in Real’s final game of the season after falling out with departing manager Jose Mourinho.
The player left United for Madrid in an £80m move in 2009. While he has won a Spanish title and the Copa Del Rey, he has not always been happy at the Bernabeu.
He missed many of his old team-mates at United and kept in touch with Alex Ferguson.
Ronaldo was disappointed when Fergie retired but he still fancies a return.
United have made contact with his representatives.
Sponsor Nike are also in on the deal.
United would make him their joint top earner with Wayne Rooney on £250,000 a week. While Paris Saint-Germain could top that, it is not just about the money for Ronaldo.
The signing would give David Moyes the perfect launchpad for his Old Trafford reign.(www.thesun.co.uk)

RASIMU YA KATIBA KWENYE MTANDAO - TAHADHARI NA RASIMU FEKI

www.katiba.go.tz