Monday 22 June 2015

Lunch na Chef Issa - Sweden

Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Mtanzania Mtaalam wa Mapishi anayeishi Nchini Sweden maarufu kwa jina la Chef Issa. Issa anaemiliki Mgahawa Nchini Sweden alishinda Medali ya Dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Mapishi akiwa na Timu ya Sweden.

No comments:

Post a Comment