Wednesday 29 August 2012

KUTOKA TSAVO HADI ROMBO: Safari ya Tembo kila Mwaka

Sehemu ya Mbuga ya Wanyama ya TSAVO kama inavyoonekana katika eneo karibu na MWATATE Nchini Kenya. Wanyama hasa Tembo wamekuwa wakivamia maeneo ya Wilaya ya Rombo kutoka Mbuga ya Wanyama ya Tsavo. Juhudi za dhati zinahitajika kudhibiti wanayama hawa kwani Kifuta machozi kinachotolewa na Serikali kwa uharibifu wa Mazao, kuuawa kwa wanyama wanaofugwa au watu kupoteza maisha hakitoshi.

No comments:

Post a Comment