Wednesday 29 August 2012

Changamoto za Maendeleo Wilaya ya Rombo

Sehemu ya Stendi ya Mkuu 

Marekebisho ya Kiwanda cha zamani eneo la Huruma - Mkuu

majengo ya iliyokuwa Rombo dalta - Mkuu


Barabara karibu na Ofisi za TANESCO Mkuu

Uwekezaji wa majengo ya Biashara katika eneo la Tarakea)
Miundombinu ya Barabara, Uwekezaji, Huduma za Jamii pamoja na Kuendeleza Miradi iliyopo ni changamoto kubwa katika kuhakikisha Rombo inakuwa na Maendeleo endelevu na Wananchi wanakuwa sehemu ya Maendeleo hayo kwa kuongezeka kwa Huduma na Kipato. (Pichani: Sehemu ya Stendi ya Mkuu - Wilayani, majengo ya iliyokuwa Rombo dalta - Mkuu, Marekebisho ya Kiwanda cha zamani eneo la Huruma - Mkuu, Barabara karibu na Ofisi za TANESCO Mkuu na uwekezaji wa majengo ya Biashara katika eneo la Tarakea)

No comments:

Post a Comment