Wednesday 29 August 2012

WAHAMIAJI HARAMU

BANGO LA MAMLAKA YA MJI WA TAVETA:
Mji wa Taveta Nchini Kenya unaopakana na Wilaya ya ROMBO na Milima ya Upare unatajwa kuwa mojawapo ya Njia kuu za kupitishia Wahamiaji Haramu kuingia Tanzania.

No comments:

Post a Comment